NIDA executes national ID system expansion project-II

DODOMA: THE government is implementing Phase II of the National ID System Expansion Project which includes the construction of the headquarters building in Dodoma, an ICT equipment maintenance centre, and registration offices in 31 districts, including Micheweni.
Deputy Minister of Home Affairs Ayoub Mohamed Mahmoud said this in the National Assembly when he was reacting to Wingu lawmaker Omari Issa Kombo who wanted the government to explain the current status of the construction of the National Identification Authority (NIDA) office at Micheweni District Headquarters.
In his response, the Deputy Minister said the Authority has completed the design of building plans and ICT infrastructure and is currently undertaking procedures to procure a contractor for the construction works.
“The tender for the contractor has already been announced and procurement processes are ongoing,” Mahmoud informed the lawmakers.
ALSO READ: Govt empowers citizens in carbon trading
As of March 2026, he added, the government, through NIDA, had already completed the Environmental Impact Assessment (EIA) as well as a Geotechnical Investigation of the site to ensure that the design and construction of the office consider environmental and soil conditions.
He also added that compensation has been paid to residents of Micheweni District who were previously using the area to pave the way for construction.
“Mr Speaker, following the completion of Phase I of the National Identification Project—which involved the construction of a Data Centre, a Disaster Recovery Centre and registration offices in 13 districts—the government is now implementing Phase II of the National ID System Expansion Project,” the deputy minister told the House.
Elaborating, he noted this phase includes the construction of the headquarters building in the capital city.
According to him, the project will also enhance and strengthen the registration and identification system by introducing additional verification methods using iris and facial recognition technologies to ensure more reliable biometric identification. In his additional question, the MP asked the Deputy Minister to tell the house the amount of funds allocated to implement the project in Micheweni District.
Responding, Mr Mahmoud said the project has been receiving funds in phases adding that a total of 33bn/- was released during the 2025/26 financial year for the ongoing construction of the NIDA office in Micheweni. He promised that the assessment of implementation of the project will be released later.




Natokea Arusha wilaya ya Meru
Natokea Arusha
Wilaya ya Meru
Abdalla sefu ndovendove
8
Kitambulisho changu sijapata ikitaka. Kujua kama kimetoka nafanyaje?
Natak kujua kitambulisho Cha kama kimetoka
Nilikuwa napenda kushauli nida .tangu tujiandikishe Ili kupata vitambulisho vya taifa ulipita mda mrefu sana havikutoka na ilivyo kawaida ya mtafutaji hakai eneo moja huwa watu wanahama Ili kutafuta ridhiki. Kwanini mamulaka ya vitambulisho wasiweke namba ya sim kwenye mtandao Ili Kila aliejandikisha kama alihama eneo alilojiamdikisha apige simu atoe maelezo ya mahali alipo Ili atumiwe kitambulisho chake kwa njia ya basi kisha alipe gharama ya usafirishaji ambapo itakuwa imemrahisishia kutumia gharama kubwa Ili kufuata kitambulisho badala yake analipia Hela kidogo na pia anakuwa hajapoteza mda. kwa mfano mtu alijiamdikisha bukoba kwa sasa anaishi arusha kwa Hali ya kawaida tu atoke arusha Hadi bukoba kufuatilia kitambulisho kwa watu wa maisha ya chini itakuwa ngumu sana maana atatakiwa aandae nauli kiasi Cha laki mbili na nusu (tsh.250000) Ili kwnda na kurudi sasa ukiangalia kwa maisha ya kawaida itakuwa vigumu sana kufuatilia hivyo vitambulisho kwa sababu ya hiyo gharama ya ufuatiliaji bila ya kutumia njia hiyo mamulaka ya vitambulisho. Vitambulisho vitaozea kwenye ofisi za kata au wataishia kuvichoma tu
Ndugu yangu napenda kukujibu kwa ufupi kama upo hai una nguvu ulihama sehemu naamini kuna ndugu na watu uliwaacha unafahamiana nao tafuta mtu mmoja mwelekeze mpatie taarifa zako zote atakuchukulia kitambulisho chako kama kitakuepo kwenye ofisi za kata akishakichukua nauli ya kukituma haitokua kubwa ,kama utakavyo safiri mwenyewe. Asante
gisimchanga97@gmail.co
Nilikuwa napenda kushauli nida .tangu tujiandikishe Ili kupata vitambulisho vya taifa ulipita mda mrefu sana havikutoka na ilivyo kawaida ya mtafutaji hakai eneo moja huwa watu wanahama Ili kutafuta ridhiki. Kwanini mamulaka ya vitambulisho wasiweke namba ya sim kwenye mtandao Ili Kila aliejandikisha kama alihama eneo alilojiamdikisha apige simu atoe maelezo ya mahali alipo Ili atumiwe kitambulisho chake kwa njia ya basi kisha alipe gharama ya usafirishaji ambapo itakuwa imemrahisishia kutumia gharama kubwa Ili kufuata kitambulisho badala yake analipia Hela kidogo na pia anakuwa hajapoteza mda. kwa mfano mtu alijiamdikisha bukoba kwa sasa anaishi arusha kwa Hali ya kawaida tu atoke arusha Hadi bukoba kufuatilia kitambulisho kwa watu wa maisha ya chini itakuwa ngumu sana maana atatakiwa aandae nauli kiasi Cha laki mbili na nusu (tsh.250000) Ili kwnda na kurudi sasa ukiangalia kwa maisha ya kawaida itakuwa vigumu sana kufuatilia hivyo vitambulisho kwa sababu ya hiyo gharama ya ufuatiliaji bila ya kutumia njia hiyo mamulaka ya vitambulisho. Vitambulisho vitaozea kwenye ofisi za kata au wataishia kuvichoma
Nida kitambulisho Sina
Nina wabadili vitambulisho
Mimi nilipatiwa namba toka 2021 sikupata kitambulisho mpaka leo, napata tabu pale ninapoambiwa nitoe copy ya kitambulisho cha NIDA.
Mamlaka husika inanisaidiaje ili nikipate kitambulisho changu
no. 19851230-61524-00001-26
Hegacoster
Kitambulisho changu akija toka huu ni mwaka wa 3 nifanyaje
0783042039 /0673172039
Karim Omary Shemzigwa
Nipo Dar es Salaam
Sijapata kitambulisho cha taifa .
Mm Nina malalamiko nida yangu ilikosewa mwaka mpk Leo nimehangaika mpk basi cjapata suluhu na nakosa ajira sababu ya nida
Nifanyaje na marekebisho nilishafanya lkn bado tu
Hv kweli nimezaliwa 1997 ,nida wameniandikia 1977, cna hata Raha na hii nida najuta mpk natamani kuwa hata mrundi, hv kweli fursa zote zinanipita Leo miaka 10 nipo mtaa sina mbele wa nyuma sababu nida nikiienda wilayani naambiwa hajaleta majibu nakufa mm😭😭😭😭😭
Jaman mm natafta nida mm sina
Sina kitambulisho changu cha nida, mm mkazi wa mwanza, wilaya ya nyamagana, ila kwa sas npo dar es salaam kweny masomo, naweza kukipataje
Niandikisha nida nikiwa kondoa Dodoma mpa Sasa sijapata ila nimehamia BUCHOSA sengerema
0635585824
naandika nida nikiwa dar es salamu na sina kitambulisho
Mimi nilijiandikisha mwaka jana kwenye mwezi wa pili au wa tatu. Nikapata namba yangu kwenye mwezi wa saba/ nane mwaka jana ila hadi asaivi kitambulusho hakijatoka au vipi.
NAOMBA KUJULISHWA IKIWA KITAMBULISHO CHANGU KAMA KIMETOKA AU KAMA KUNA NJIA YA KUANGALIA KAMA KIMETOKA.
MKOA NILIOJISAJILIA: Tanga
WILAYA: Mkinga
KATA: Parungu/Kasera
Namba ya simu: 0673 139 119 ( Ninayotumia saii) niliojisajilia ilipotea.