TACTIC project to uplift Mbinga infrastructure

DODOMA: THE government has commenced the implementation of key infrastructure projects in Mbinga District, Ruvuma Region, aimed at improving social services.

Deputy Minister of State, Prime Minister’s Office, Regional Administration and Local Government (PO-RALG) Mr Reuben Kwagilwa told the National Assembly yesterday that funds for the project has already been disbursed.

“Honourable Speaker, the government, with financing from the World Bank, has commenced the implementation of the TACTIC Project in Mbinga Urban Constituency.

The project is currently at the design stage under a consulting engineer known as Botek Bosphorus Technical Consulting Corporation (BOTEC), working in collaboration with Building Design Authority (P) Ltd and Masterpiece Consult Ltd, since 1 June 2025,” he said.

The deputy minister said once the design phase is completed, construction will commence immediately.

He was responding to a basic question posed by Jonas Mbunda (Mbinga Urban- CCM), who wanted to know when will the government begin implementing the TACTIC Project in Mbinga Urban Constituency.

ALSO READ: TACTIC project improves infrastructure, services in Dodoma

Meanwhile, Mr Kwagilwa said the government has completed design of the Mshangano–Legele–Mletele road for construction to tarmac (asphalt) standard, whereby 2.51bn/- will be used for the initial construction of 5.0 kilometres of the road.

He said, currently, the government is continuing to seek funds in order to implement the construction of the road.

“As we await the availability of funds in the 2025/26 Financial Year, the road has been allocated 20m/- for routine maintenance. Furthermore, in the 2026/27 Financial Year, the government plans to allocate 250m/- for maintenance of the road to ensure that it remains passable throughout the year,” he said.

He was responding to a question by Ms Jacqueline Ngonyani (Special Seats), who wanted to know When will the government begin the construction of the Mshangano–Legele– Mletele road, which is 9.2 kilometres long.

Related Articles

4 Comments

  1. MAELEKEZO YA USHIRIKI KWENYE TUZO
    VIPENGELE VYA TUZO VINAVYOSHINDANISHWA
    Maeneo yatakayotolewa Tuzo kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)
    ni:-
    1. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja A kundi la Kijamii (Overall Best
    SACCOS with license Category A – Community Base)
    2. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja A kundi la Kazini (Overall Best
    SACCOS with license Category A – Salary Base)
    3. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja B kundi la Kijamii (Overall Best
    SACCOS with license Category B – Community Base)
    4. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja B kundi la Kazini (Overall Best
    SACCOS with license Category B – Salary Base)
    5. Uwezeshaji wa wanawake kwenye huduma za Kifedha zinazotolewa na SACCOS
    (SACCOS Women Financial Empowerment)
    6. Uwezeshaji wa vijana kwenye huduma za Kifedha zinazotolewa na SACCOS
    (SACCOS Youth Financial Empowerment)
    7. Uwezeshaji wa huduma za Kifedha kwa makundi ya watu wenye Mahitaji
    maalumu (Financing Persons with Disabilities)
    8. Uwezeshaji wa huduma za Kifedha kwenye shughuli za kulinda Mazingira, Jamii
    na uongozi (Sustainable Financing – ESG)
    9. Uwekezaji wa SACCOS kwenye mifumo ya Malipo na Digitali (Financial Payment
    System and Digitalization)
    10. Ushiriki wa SACCOS katika utoaji wa Elimu na Mafunzo kwa wanachama,
    Viongozi na watendaji wake (Education and Training)
    VIGEZO VYA KUSHIRIKI
    a. Mshiriki lazima awe ni Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)
    kilichosajiliwa kwa mujibu wa taratibu na Sheria ya Vyama vya Ushirika Na.6 ya
    Mwaka 2023 pamoja na Kanuni zake za Mwaka 2015. Aidha, SACCOS hizo
    zinapaswa kuwa zinaendesha biashara yake kwa kuzingatia matakwa ya Sheria
    ya Huduma Ndogo za Fedha Na.10 ya Mwaka 2018 pamoja na Kanuni zake za
    Mwaka 2019.
    b. Mshiriki anapaswa kutaja JINA LA CHAMA, NAMBA YA USAJILI, NAMBA YA
    LESENI, MKOA na WILAYA kinapopatikana pamoja na namba ya Simu ya Meneja.
    c. Mbali na utoaji huduma za kawaida, Chama lazima kiwe kinajishughulisha na
    utoaji huduma kwenye Eneo la Tuzo linaloshindaniwa.
    d. Chama kishiriki kinapaswa kutoa Ushahidi na uzoefu wa huduma husika kwenye
    Eneo la Tuzo linaloshindanishwa.
    e. Taarifa zitakazowasilishwa zinapaswa kuwa za kweli na zilizothibitishwa na
    uongozi na Menejimenti ya chama husika. Kutoa taarifa za uongo ni kwenda
    kinyume na matakwa ya Sheria, hivyo chama husika kinaweza kuchukuliwa
    hatua za kisheria kwa ukiukwaji huo pale itakapobainika.
    TARATIBU ZA KUWASILISHA MAOMBI
    a. Chama kinaweza kushiriki kwenye tuzo zaidi ya moja kutegemeana na sifa na
    vigezo vilivyopo kwenye tuzo hiyo.
    b. Fomu zote zinapaswa kujazwa kikamilifu kwa kuzingatia maelekezo yaliyopo
    kwenye JEDWALI na kuwasilisha VIELELEZO pale inapobidi.
    c. Vielelezo vyote vya udhibitisho vinapaswa kuwa kwenye mfumo wa PDF
    d. Fomu iliyojazwa kikamilifu pamoja na vielelezo vyake, vinapaswa kuwasilishwa
    ofisini kwa Mrajis wa Vyama vya Ushirika nchini kupitia Barua pepe hizi:
    fcr@ushirika.go.tz
    e. Mwisho wa kuwasilisha fomu za ushiriki ni tarehe 26 Agost 2024, Saa tisa na
    nusu alasiri (9:30 Alasiri)
    f. Kwa maelekezo zaidi wasiliana na:
     Sifuel Lyamuya 0716291003 (Mwenyekiti)
     Biyaga Nzohumpa 0769190132 (Katibu)

  2. MAELEKEZO YA USHIRIKI KWENYE TUZO
    VIPENGELE VYA TUZO VINAVYOSHINDANISHWA
    Maeneo yatakayotolewa Tuzo kwa Vyama vya Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)
    ni:-
    1. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja A kundi la Kijamii (Overall Best
    SACCOS with license Category A – Community Base)
    2. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja A kundi la Kazini (Overall Best
    SACCOS with license Category A – Salary Base)
    3. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja B kundi la Kijamii (Overall Best
    SACCOS with license Category B – Community Base)
    4. Tuzo ya SACCOS bora yenye Leseni Daraja B kundi la Kazini (Overall Best
    SACCOS with license Category B – Salary Base)
    5. Uwezeshaji wa wanawake kwenye huduma za Kifedha zinazotolewa na SACCOS
    (SACCOS Women Financial Empowerment)
    6. Uwezeshaji wa vijana kwenye huduma za Kifedha zinazotolewa na SACCOS
    (SACCOS Youth Financial Empowerment)
    7. Uwezeshaji wa huduma za Kifedha kwa makundi ya watu wenye Mahitaji
    maalumu (Financing Persons with Disabilities)
    8. Uwezeshaji wa huduma za Kifedha kwenye shughuli za kulinda Mazingira, Jamii
    na uongozi (Sustainable Financing – ESG)
    9. Uwekezaji wa SACCOS kwenye mifumo ya Malipo na Digitali (Financial Payment
    System and Digitalization)
    10. Ushiriki wa SACCOS katika utoaji wa Elimu na Mafunzo kwa wanachama,
    Viongozi na watendaji wake (Education and Training)
    VIGEZO VYA KUSHIRIKI
    a. Mshiriki lazima awe ni Chama cha Ushirika wa Akiba na Mikopo (SACCOS)
    kilichosajiliwa kwa mujibu wa taratibu na Sheria ya Vyama vya Ushirika Na.6 ya
    Mwaka 2023 pamoja na Kanuni zake za Mwaka 2015. Aidha, SACCOS hizo
    zinapaswa kuwa zinaendesha biashara yake kwa kuzingatia matakwa ya Sheria
    ya Huduma Ndogo za Fedha Na.10 ya Mwaka 2018 pamoja na Kanuni zake za
    Mwaka 2019.
    b. Mshiriki anapaswa kutaja JINA LA CHAMA, NAMBA YA USAJILI, NAMBA YA
    LESENI, MKOA na WILAYA kinapopatikana pamoja na namba ya Simu ya Meneja.
    c. Mbali na utoaji huduma za kawaida, Chama lazima kiwe kinajishughulisha na
    utoaji huduma kwenye Eneo la Tuzo linaloshindaniwa.
    d. Chama kishiriki kinapaswa kutoa Ushahidi na uzoefu wa huduma husika kwenye
    Eneo la Tuzo linaloshindanishwa.
    e. Taarifa zitakazowasilishwa zinapaswa kuwa za kweli na zilizothibitishwa na
    uongozi na Menejimenti ya chama husika. Kutoa taarifa za uongo ni kwenda
    kinyume na matakwa ya Sheria, hivyo chama husika kinaweza kuchukuliwa
    hatua za kisheria kwa ukiukwaji huo pale itakapobainika.
    TARATIBU ZA KUWASILISHA MAOMBI
    a. Chama kinaweza kushiriki kwenye tuzo zaidi ya moja kutegemeana na sifa na
    vigezo vilivyopo kwenye tuzo hiyo.
    b. Fomu zote zinapaswa kujazwa kikamilifu kwa kuzingatia maelekezo yaliyopo
    kwenye JEDWALI na kuwasilisha VIELELEZO pale inapobidi.
    c. Vielelezo vyote vya udhibitisho vinapaswa kuwa kwenye mfumo wa PDF
    d. Fomu iliyojazwa kikamilifu pamoja na vielelezo vyake, vinapaswa kuwasilishwa
    ofisini kwa Mrajis wa Vyama vya Ushirika nchini kupitia Barua pepe hizi:
    fcr@ushirika.go.tz
    e. Mwisho wa kuwasilisha fomu za ushiriki ni tarehe 26 Agost 2024, Saa tisa na
    nusu alasiri (9:30 Alasiri)
    f. Kwa maelekezo zaidi wasiliana na:
     Sifuel Lyamuya 0716291003 (Mwenyekiti)
     Biyaga Nzohumpa 0769190132 (Katibu)

  3. DIBAJI
    Mwongozo huu umeandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa kushirikiana na
    taasisi ambazo zinasimamia mfumo wa VICOBA nchini. Lengo kuu la mwongozo huu ni kuwawezesha
    Wakufunzi wa mfumo wa VICOBA kufuata kikamilifu hatua zote muhimu katika kufundisha na
    kusimamia vikundi vya VICOBA hapa nchini. Aidha, madhumuni ya mwongozo ni kuwasaidia
    wakufunzi waliopata mafunzo ya namna ya kuhamasisha, kuunda, kufundisha na kusimamia vikundi
    vya VICOBA kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi. Mwongozo huu utawawezesha wakufunzi kuelewa
    kwa kina taratibu na muundo ndani ya vikundi vya VICOBA na hivyo kuweza kufikia malengo
    yaliyokusudiwa katika kuanzisha na kusimamia vikundi vya VICOBA katika jamii.
    Mwongozo huu utatumiwa na mkufunzi yeyote ambaye ameshapata mafunzo ya mfumo wa VICOBA
    na utamwezesha kufundisha vikundi vya VICOBA kwa umakini na kusimamia kikamilifu shughuli
    za kikundi bila kukiuka taratibu za mfumo huo. Msingi mkuu wa uimara wa vikundi vya VICOBA
    unatokana na utaratibu mzuri uliondaliwa katika kusimamia vikundi kuanzia hatua ya uhamasishaji,
    uundaji wa vikundi, mafunzo na usimamizi wa shughuli za kifedha na shughuli nyingine za kimaendeleo.
    Mwongozo huu utatumika sambamba na miongozo mingine inayolenga kutoa mafunzo mtambuka kama
    vile ujasiriamali ili kukidhi matakwa ya kijamii. Mafunzo ya ujasiriamali yatawawezesha wanaVICOBA
    kuwa wajasiriamali na kuchangia katika maendeleo ya kiuchumi katika jamii. Hii ni kutokana na ukweli
    kuwa vikundi vya VICOBA vimekuwa ni chachu katika kufikisha mafunzo na mipango mbalimbali ya
    maendeleo katika jamii. Hivyo, mkufunzi atawajibika kushirikisha vikundi katika mafunzo ya masuala
    mtambuka kama usafi, afya, mazingira, maliasili, haki za raia, jinsia na watoto, utawala bora, kilimo na
    uzalishaji mali kwa ujumla.
    Malengo mahsusi ya mwongozo huu ni:
    i. Kuhakikisha hatua zote muhimu katika mafunzo ya vikundi zinafuatwa
    ii. Kumrahisishia mkufunzi kupata mtitiriko mzuri wa mafunzo
    iii. Kuhakikisha vikundi vya VICOBA vinapata mafunzo sahihi
    iv. Kulinda ubora wa mafunzo yanayopaswa kutolewa kwa vikundi
    Mwongozo umeeleza historia ya Mfumo wa VICOBA, jinsi unavyofanya kazi, mafunzo ya awali,
    uundaji na uendeshaji wa vikundi katika mfumo wa VICOBA, mafunzo yauwekaji akiba, mikopo,
    ufungaji wa mzunguko, uongozi, sheria ndogo za vikundi, utatuzi wa migogoro na masuala mtambuka.
    Uandaaji wa Mwongozo huu usingefanikiwa kama sio kwa ushirikiano mzuri wa wadau mbalimbali.
    Hivyo, shukurani za pekee zinatolewa kwa Programu ya Miundombinu ya Masoko na Huduma za
    Kifedha Vijijini (MIVARF) kwa kufadhili uandaaji wa Mwongozo huu. Pia Shukrani kwa Ofisi ya RaisTawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na taasisi wezeshi za VICOBA (VICOBA Promoters) kwa kwa
    kutoa mchango mkubwa katika kuandaa mwongozo huu. Taasisi hizo ni pamoja na
    KIVINET, PVSDA, UYACODE, VSDA, ASE, AHADIWAY, SEDIT, SELL, VICOBA FETA,
    PESCODE, MVITA na FOVSDA. Ili kufanisha upatikanaji wa Mwongozo huu wadau hawa walifanya
    yafuatayo:
    i. Kushirikishana juu ya changamoto na mafanikio katika utekelezaji wa mfumo wa VICOBA
    nchini kulingana na muktadha wa sasa;
    ii. Kupitia miongozo mbalimbali ya taasisi wezeshi za VICOBA na kuiboresha ili kutengeneza
    mwongozo bora utakaotumiwa na taasisi zote ili kuondoa mikanganyiko katika mfumo wa
    VICOBA nchini;
    iii. kuchanganua masuala yanayohitaji utafiti zaidi ili kuboresha mfumo wa VICOBA kulingana na
    muktadha wa Tanzania ya leo;
    iv. Kupanga namna ya kudhibiti mfumo wa VICOBA dhidi ya mafundisho potofu na matapeli
    ili kulinda fedha za wanaVICOBA, Serikali na wahisani wenye lengo la kusaidia vikundi vya
    VICOBA.

  4. DIBAJI
    Mwongozo huu umeandaliwa na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi kwa kushirikiana na
    taasisi ambazo zinasimamia mfumo wa VICOBA nchini. Lengo kuu la mwongozo huu ni kuwawezesha
    Wakufunzi wa mfumo wa VICOBA kufuata kikamilifu hatua zote muhimu katika kufundisha na
    kusimamia vikundi vya VICOBA hapa nchini. Aidha, madhumuni ya mwongozo ni kuwasaidia
    wakufunzi waliopata mafunzo ya namna ya kuhamasisha, kuunda, kufundisha na kusimamia vikundi
    vya VICOBA kufanya kazi zao kwa ufanisi zaidi. Mwongozo huu utawawezesha wakufunzi kuelewa
    kwa kina taratibu na muundo ndani ya vikundi vya VICOBA na hivyo kuweza kufikia malengo
    yaliyokusudiwa katika kuanzisha na kusimamia vikundi vya VICOBA katika jamii.
    Mwongozo huu utatumiwa na mkufunzi yeyote ambaye ameshapata mafunzo ya mfumo wa VICOBA
    na utamwezesha kufundisha vikundi vya VICOBA kwa umakini na kusimamia kikamilifu shughuli
    za kikundi bila kukiuka taratibu za mfumo huo. Msingi mkuu wa uimara wa vikundi vya VICOBA
    unatokana na utaratibu mzuri uliondaliwa katika kusimamia vikundi kuanzia hatua ya uhamasishaji,
    uundaji wa vikundi, mafunzo na usimamizi wa shughuli za kifedha na shughuli nyingine za kimaendeleo.
    Mwongozo huu utatumika sambamba na miongozo mingine inayolenga kutoa mafunzo mtambuka kama
    vile ujasiriamali ili kukidhi matakwa ya kijamii. Mafunzo ya ujasiriamali yatawawezesha wanaVICOBA
    kuwa wajasiriamali na kuchangia katika maendeleo ya kiuchumi katika jamii. Hii ni kutokana na ukweli
    kuwa vikundi vya VICOBA vimekuwa ni chachu katika kufikisha mafunzo na mipango mbalimbali ya
    maendeleo katika jamii. Hivyo, mkufunzi atawajibika kushirikisha vikundi katika mafunzo ya masuala
    mtambuka kama usafi, afya, mazingira, maliasili, haki za raia, jinsia na watoto, utawala bora, kilimo na
    uzalishaji mali kwa ujumla.
    Malengo mahsusi ya mwongozo huu ni:
    i. Kuhakikisha hatua zote muhimu katika mafunzo ya vikundi zinafuatwa
    ii. Kumrahisishia mkufunzi kupata mtitiriko mzuri wa mafunzo
    iii. Kuhakikisha vikundi vya VICOBA vinapata mafunzo sahihi
    iv. Kulinda ubora wa mafunzo yanayopaswa kutolewa kwa vikundi
    Mwongozo umeeleza historia ya Mfumo wa VICOBA, jinsi unavyofanya kazi, mafunzo ya awali,
    uundaji na uendeshaji wa vikundi katika mfumo wa VICOBA, mafunzo yauwekaji akiba, mikopo,
    ufungaji wa mzunguko, uongozi, sheria ndogo za vikundi, utatuzi wa migogoro na masuala mtambuka.
    Uandaaji wa Mwongozo huu usingefanikiwa kama sio kwa ushirikiano mzuri wa wadau mbalimbali.
    Hivyo, shukurani za pekee zinatolewa kwa Programu ya Miundombinu ya Masoko na Huduma za
    Kifedha Vijijini (MIVARF) kwa kufadhili uandaaji wa Mwongozo huu. Pia Shukrani kwa Ofisi ya RaisTawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na taasisi wezeshi za VICOBA (VICOBA Promoters) kwa kwa
    kutoa mchango mkubwa katika kuandaa mwongozo huu. Taasisi hizo ni pamoja na
    KIVINET, PVSDA, UYACODE, VSDA, ASE, AHADIWAY, SEDIT, SELL, VICOBA FETA,
    PESCODE, MVITA na FOVSDA. Ili kufanisha upatikanaji wa Mwongozo huu wadau hawa walifanya
    yafuatayo:
    i. Kushirikishana juu ya changamoto na mafanikio katika utekelezaji wa mfumo wa VICOBA
    nchini kulingana na muktadha wa sasa;
    ii. Kupitia miongozo mbalimbali ya taasisi wezeshi za VICOBA na kuiboresha ili kutengeneza
    mwongozo bora utakaotumiwa na taasisi zote ili kuondoa mikanganyiko katika mfumo wa
    VICOBA nchini;
    iii. kuchanganua masuala yanayohitaji utafiti zaidi ili kuboresha mfumo wa VICOBA kulingana na
    muktadha wa Tanzania ya leo;
    iv. Kupanga namna ya kudhibiti mfumo wa VICOBA dhidi ya mafundisho potofu na matapeli
    ili kulinda fedha za wanaVICOBA, Serikali na wahisani wenye lengo la kusaidia vikundi vya
    VICOBA.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Back to top button