KISWAHILI FOR BEGINNERS: KIWANJA CHA NDEGE 2.

We proceed with our topic Kiwanja Cha Ndege

Je Hupendi safari ya ndege?                                              don’t you like to go by air?

Ninaogopa kusafiri angani,                                                  I am afraid to travel in the air

Hakuna sababu ya kuogooa,.                                              No reason to be afraid.

Ndege karibu itaondoka,.                                                     The aircraff is about to take off.

Hali ya hewa.si nzuri.                                                           The weather is not good .

Kuna mawingu na ukungu mwingi,.                                   There are clouds and much fog.

Kiwanja kimetanda ukungu ,                                                 The airport is covered with fog

Kuna mvua pia Leo,.                                                                There is also rain today .

Ndege nyingi,.                                                                             Many aircraft .

Zinashindwa kutua                                                                    can not land

Shauri ya ukungu ,.                                                                   Because of fog.

Karibu jua litatoka                                                                    The sun is about to come out.

Ukungu umezidi siku hizi,.                                                        There is too much fog nowadays.

HADITHI.

Ndege Moja ilikuwa angani.Rubani aliwaambia wasafiri,”mnaweza kuvuta sigara Sasa,”Baada ya muda mfupi,alitoa sauti kubwa akisema,”zimeni sigara zenu upesi,na fungeni mikanda mara Moja,”watu wote waliogopa .Ndege Ilikuwa juu ya mawingu ,ikaanza kushuka upesiupesi .Chini ya mawingu kilikuwa na ukungu ;rubani hakuweza kuona kiwanja Cha ndege.Alijaribu kuzunguka,lakini ndege ilizidi kushuka.Mwishowe ,alitua shambani .Rubani huyo alikuwa hodari sana,Japo ndege Ilikuwa mbovu ,lakini alitua salama ,hakuna mtu aliyeumia.Ndege ilipotua,wasafiri wote walitoka wakitetemeka.Wote walimshika rubani mkono na kumpa heko kwa uhodari wake ,watu wengi walikuja kuona ajali hii ya ndege.Walishangaa walipoona wasafiri wote wapo salama kabisa ,Baada ya saa Moja hivi,helikopta ilikuja ikawachukua wasafiri wote.

Zoezi

1.je chausiku alifanya nini?

2.je ndege ilipotua Wambura alifanya nini?

The End

Related Articles

Back to top button